Home » , » MBUNGE AHUKUMIWA KWENDA JELA MIEZI KUMI, HILI NDO KOSA ALILOFANYA

MBUNGE AHUKUMIWA KWENDA JELA MIEZI KUMI, HILI NDO KOSA ALILOFANYA



[ GUSHIT NEWZZZZZZZZ...!!! ]

MBUNGE AHUKUMIWA KWENDA JELA MIEZI KUMI, HILI NDO KOSA ALILOFANYA

MBUNGE wa Mbarali, Modestus Kilufi (CCM) amehukumiwa kifungo cha miezi 10 baada ya kupatikana na hatia ya kutishia kuua, Mbunge huyo (51) alifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Oktoba 10, mwaka jana akidaiwa kutishia kumuua Ofisa Mtendaji wa Kata ya Ruiwa, Mbarali, Bw. Jordan Masweve.MBUNGE wa Mbarali, Modestus Kilufi (CCM) amehukumiwa kifungo cha miezi 10 baada ya kupatikana na hatia ya kutishia kuua, Mbunge huyo (51) alifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Oktoba 10, mwaka jana akidaiwa kutishia kumuua Ofisa Mtendaji wa Kata ya Ruiwa, Mbarali, Bw. Jordan Masweve.

0 comments:

Post a Comment

tafsiri hapa

watembeleaji wetu

zilizosomwa zaidi